Zaburi 31:3
Zaburi 31:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Naam, wewe ni mwamba wangu na ngome yangu; kwa hisani yako uniongoze na kunielekeza.
Shirikisha
Soma Zaburi 31Zaburi 31:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze na unichunge.
Shirikisha
Soma Zaburi 31