Mhubiri 3:12-13
Mhubiri 3:12-13 Biblia Habari Njema (BHN)
Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo. Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:12-13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi. Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3