1 Wakorintho 4:5
1 Wakorintho 4:5 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 41 Wakorintho 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, msihukumu kabla ya wakati wake; acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 4