Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 8:16-17

Zekaria 8:16-17 BHN

Hivi ndivyo mnavyopaswa kufanya: Kila mmoja wenu na amwambie mwenzake ukweli. Mahakama yenu daima na yatoe hukumu za haki ziletazo amani. Mtu yeyote miongoni mwenu asikusudie kutenda uovu dhidi ya mwenzake, wala msiape uongo, maana nayachukia sana matendo hayo. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Soma Zekaria 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zekaria 8:16-17