Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 10:14-15

Waroma 10:14-15 BHN

Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri? Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”

Video ya Waroma 10:14-15