Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 10:13-15

Waroma 10:13-15 BHN

Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri? Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”

Video for Waroma 10:13-15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 10:13-15