Zaburi 55:12-14
Zaburi 55:12-14 BHN
Kama adui yangu angenitukana, ningeweza kustahimili hayo; kama mpinzani wangu angenidharau, ningeweza kujificha mbali naye. Kumbe, lakini, ni wewe mwenzangu; ni wewe rafiki yangu na msiri wangu! Sisi tulizoea kuzungumza kirafiki; pamoja tulikwenda nyumbani kwa Mungu.