Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:7-8

Zaburi 42:7-8 BHN

Nimeporomoshewa mafuriko ya maji mafuriko ya maji yaja karibu nayo yaita maporomoko mapya. Mawimbi na mapigo yako yamenikumba. Mwenyezi-Mungu atanijalia fadhili zake mchana; nami nimwimbie wimbo wa sifa usiku, nimwombe Mungu anipaye uhai.

Soma Zaburi 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:7-8