Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:11

Zaburi 42:11 BHN

Mbona nasononeka hivyo moyoni? Kwa nini nahangaika hivyo? Nitamtumainia Mungu, maana nitamsifu tena Mungu, aliye msaada wangu na Mungu wangu.

Soma Zaburi 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:11