Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 41:4-6

Zaburi 41:4-6 BHN

Nami nilisema: “Unifadhili, ee Mwenyezi-Mungu, unihurumie maana nimekukosea wewe.” Madui zangu husema vibaya juu yangu: “Atakufa lini na jina lake litoweke!” Wanitembeleapo husema maneno matupu; wanakusanya mabaya juu yangu, na wafikapo nje huwatangazia wengine.

Soma Zaburi 41

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 41:4-6

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha