Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 133:1-3

Zaburi 133:1-3 BHN

Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja. Ni kama mafuta mazuri yatiririkayo kichwani, mpaka kwenye ndevu zake Aroni, mpaka upindoni mwa vazi lake shingoni. Ni kama umande wa mlima Hermoni, uangukao juu ya vilima vya Siyoni! Huko Mwenyezi-Mungu ameahidi kuwabariki watu wake, kuwapa uhai usio na mwisho.

Soma Zaburi 133

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 133:1-3