Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 10:17-18

Zaburi 10:17-18 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu, wapokea dua za mnyonge; wampa moyo na kumtegea sikio. Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Soma Zaburi 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 10:17-18

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha