Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Nehemia 6:9

Nehemia 6:9 BHN

Walifanya hivyo ili kututisha wakifikiri: “Hawataendelea na kazi, kwa hiyo, hakuna litakalotendeka.” Nikamwomba Mungu wangu nikisema, “Lakini sasa, ee Mungu, nakuomba unipe nguvu.”

Soma Nehemia 6