Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 7:21-23

Marko 7:21-23 BHN

Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 7:21-23