Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:51-52

Mathayo 27:51-52 BHN

Hapo pazia la hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka; makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa