Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 5:5-6

Luka 5:5-6 BHN

Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.” Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 5:5-6