Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 18:22-23

Luka 18:22-23 BHN

Yesu aliposikia hayo, akamwambia, “Unatakiwa bado kufanya kitu kimoja: Uza kila kitu ulicho nacho, wagawie maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate.” Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 18:22-23