Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 6:17

Yoshua 6:17 BHN

Mji huo utaangamizwa na kila kitu kilichomo kwani umewekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Rahabu, yule kahaba, ndiye atakayesalimishwa pamoja na wale ambao wamo nyumbani mwake kwa kuwa aliwaficha wapelelezi wetu.

Soma Yoshua 6