Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 4:21-23

Yoshua 4:21-23 BHN

Kisha Yoshua akawaambia Waisraeli, “Watoto wenu watakapowaulizeni siku zijazo, ‘Je, mawe haya yana maana gani?’ Mtawaambia hivi: ‘Taifa la Israeli lilivuka mto huu wa Yordani mahali pakavu.’ Mtawaambia kuwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, aliyakausha maji ya mto Yordani kwa ajili yenu mpaka mkavuka, kama alivyokausha bahari ya Shamu, kwa ajili yetu tukavuka

Soma Yoshua 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yoshua 4:21-23