Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 34:10-11

Yobu 34:10-11 BHN

“Kwa hiyo nisikilizeni, enyi wenye ujuzi. Mungu kamwe hawezi kufanya uovu; Mungu Mwenye Nguvu hawezi kufanya kosa. Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.

Soma Yobu 34

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yobu 34:10-11