Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 14:12-14

Yohane 14:12-14 BHN

Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, kwani ninakwenda kwa Baba. Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohane 14:12-14