Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 20:11

Yeremia 20:11 BHN

Lakini wewe Mwenyezi-Mungu u pamoja nami kwangu wewe ni kama shujaa wa kutisha; kwa hiyo watesi wangu watajikwaa, na hawataweza kunishinda. Wataaibika kupindukia, maana hawatafaulu. Fedheha yao itakuwa ya daima; kamwe haitasahaulika.

Soma Yeremia 20