Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 16:19

Yeremia 16:19 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu! Wewe ndiwe nguvu yangu na ngome yangu; wewe ni kimbilio langu wakati wa taabu. Mataifa toka pande zote duniani yatakujia na kusema: “Wazee wetu hawakuwa na kitu ila miungu ya uongo, vitu duni visivyo na faida yoyote.

Soma Yeremia 16

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha