Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 65:23-24

Isaya 65:23-24 BHN

Kazi zao hazitakuwa bure, wala hawatazaa watoto wa kupata maafa; maana watakuwa waliobarikiwa na Mwenyezi-Mungu, wamebarikiwa wao pamoja na wazawa wao. Hata kabla hawajaniita, mimi nitawaitikia; kabla hawajamaliza kusema, nitakuwa nimewajibu.

Soma Isaya 65