Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isa 65:23-24

Isa 65:23-24 SUV

Hawatajitaabisha kwa kazi bure, wala hawatazaa kwa taabu; kwa sababu wao ni wazao wa hao waliobarikiwa na BWANA, na watoto wao pamoja nao. Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa katika kunena, nitasikia.

Soma Isa 65