Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 6:4-5

Isaya 6:4-5 BHN

Sauti yao iliitikisa misingi ya milango ya hekalu, nalo likajaa moshi. Basi, mimi nikasema, “Ole wangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni najisi, na watu ninaoishi nao ni najisi kama mimi. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mfalme, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.”

Soma Isaya 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Isaya 6:4-5