Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 57:18-19

Isaya 57:18-19 BHN

Niliiona mienendo yao, lakini nitawaponya; nitawaongoza na kuwapa faraja, nitawatuliza hao wanaoomboleza. Mimi nitawapa amani, amani kwa walio mbali na walio karibu! Mimi nitawaponya.

Soma Isaya 57