Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 40:10-11

Isaya 40:10-11 BHN

Bwana Mungu anakuja na nguvu, kwa mkono wake anatawala. Zawadi yake iko pamoja naye, na tuzo lake analo. Atalilisha kundi lake kama mchungaji, atawakusanya wanakondoo mikononi mwake, atawabeba kifuani pake, na kondoo wanyonyeshao atawaongoza polepole.

Soma Isaya 40