Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 25:9

Isaya 25:9 BHN

Siku ile, watu wote watasema, “Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemngojea atuokoe. Huyu ndiye Mwenyezi-Mungu tuliyemtazamia. Njoni tufurahi na kushangilia kwa kuwa ametuokoa.”

Soma Isaya 25