Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 2:14-15

Waebrania 2:14-15 BHN

Basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili, kwa njia ya kifo chake, amwangamize Ibilisi ambaye ana mamlaka juu ya kifo, na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 2:14-15