Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 13:17

Waebrania 13:17 BHN

Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 13:17