Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 11:7

Waebrania 11:7 BHN

Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hayakuwa yameonekana bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 11:7