Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 1:5

Waebrania 1:5 BHN

Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: “Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa Baba yako.” Wala hakusema juu ya malaika yeyote: “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu.”