Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 50:17

Mwanzo 50:17 BHN

‘Mwambieni Yosefu kwa niaba yangu: Tafadhali uwasamehe ndugu zako makosa yao mabaya na maovu yote waliyokutendea.’ Sasa basi, tafadhali usamehe uovu tuliokutendea sisi watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yosefu alipopata ujumbe huu, alilia.

Soma Mwanzo 50

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 50:17

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha