Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 41:39-40

Mwanzo 41:39-40 BHN

Kisha akamwambia Yosefu, “Kwa kuwa Mungu amekufunulia haya yote, hakuna mtu mwingine mwenye busara na hekima kama wewe. Wewe ndiwe utakayeisimamia nchi yangu, na watu wangu wote watakuwa chini ya amri yako. Mimi tu ndiye mkuu kuliko wewe kwa kuwa nakalia kiti cha kifalme.

Soma Mwanzo 41

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 41:39-40