Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 39:20-21

Mwanzo 39:20-21 BHN

akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme. Lakini hata humo gerezani Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yosefu akimfadhili hata kumfanya apendeke mbele ya mkuu wa gereza.

Soma Mwanzo 39

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 39:20-21