Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 7:19

Ezekieli 7:19 BHN

Watatupa fedha yao barabarani na dhahabu yao itakuwa kama kitu najisi. Fedha na dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu; wala hawataweza kushiba au kuyajaza matumbo yao fedha na dhahabu waliyojirundikia; kwani mali hiyo ndiyo chanzo cha dhambi yao.

Soma Ezekieli 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 7:19