Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 39:25

Ezekieli 39:25 BHN

“Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Sasa nitawahurumia Waisraeli wazawa wa Yakobo, na kuwarudishia fanaka yao. Daima nataka jina langu takatifu liheshimiwe.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 39:25