Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 33:11

Ezekieli 33:11 BHN

Basi, waambie: Kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu naapa kwamba, mimi sikifurahii kifo cha mtu mwovu, bali napenda mtu mwovu aachane na mwenendo wake mbaya, apate kuishi. Tubuni, achaneni na mwenendo wenu mbaya, enyi Waisraeli! Kwa nini mwataka kufa?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 33:11