Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 33:11

Ezekieli 33:11 NEN

Waambie, ‘Hakika kama mimi niishivyo, asema BWANA Mwenyezi, sifurahii kifo cha watu waovu, bali kwamba wageuke kutoka njia zao mbaya wapate kuishi. Geukeni! Geukeni kutoka njia zenu mbaya! Kwa nini mkafe, ee nyumba ya Israeli?’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 33:11