Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 2:15

Esta 2:15 BHN

Wakati uliwadia wa Esta kwenda kwa mfalme. Huyo, binti Abihaili, binamu ya Mordekai, na ambaye alilelewa na Mordekai, hakuomba chochote zaidi ya kile alichopangiwa na Hegai, towashi mwangalizi wa wanawake wa mfalme. Kila mtu aliyemwona Esta, alipendezwa naye.

Soma Esta 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 2:15