Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 5:15-17

Waefeso 5:15-17 BHN

Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi. Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima. Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.