Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 5:15-16

Waefeso 5:15-16 BHN

Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi. Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima. Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.