Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 3:1-3

Mhubiri 3:1-3 BHN

Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga

Soma Mhubiri 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mhubiri 3:1-3