Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 12:6-7

Mhubiri 12:6-7 BHN

Wakati huo uzi wa dhahabu utakatika, bakuli la dhahabu litapasuka, mtungi wa maji utavunjikia kisimani, kadhalika na gurudumu la kuvutia maji. Nawe vumbi utarudia udongoni ulimotolewa na roho yako itamrudia Mungu aliyeiumba.

Soma Mhubiri 12