Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 5:32-33

Kumbukumbu la Sheria 5:32-33 BHN

“Nyinyi muwe waangalifu mkafanye kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru; tekelezeni kila kitu barabara. Mtafuata njia yote Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, aliyowaamuru kufuata ili mambo yenu yawaendee vyema na mpate kuishi muda mrefu katika nchi mtakayotwaa iwe mali yenu.