Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 1:17

Kumbukumbu la Sheria 1:17 BHN

Msimpendelee mtu yeyote katika kutoa hukumu; mtawasikiliza bila upendeleo, wakubwa kwa wadogo. Msitishwe na mtu yeyote, maana hukumu mnayotoa inatoka kwa Mungu. Kesi yoyote ikiwa ngumu zaidi kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’

Video for Kumbukumbu la Sheria 1:17