Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 19:30-32

Matendo 19:30-32 BHN

Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia. Maofisa wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimpelekea Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi wa michezo. Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.

Video for Matendo 19:30-32

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 19:30-32