Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 2:10-13

2 Timotheo 2:10-13 BHN

Kwa hiyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele. Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana. Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 2:10-13