Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 3:5-6

2 Wakorintho 3:5-6 BHN

Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu: Maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uhai.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 3:5-6